Monday, December 22, 2008

RATIBA YA WIKI WRM

Siku ya Jumanne ni jinsi ya kuutunza uponyaji-saa10:00-12:00 jioni.
Siku ya Alhamisi ni jinsi ya kuukulia wokovu --saa10:00-12:00 jioni
Siku ya Jumamosi ni ibada ya maombezi -saa 9:00-12:00jioni
Siku ya Jumapili kuna ibada 2 za maombezi asubuhi na jioni saa 3:00 asubuhi -7:00 mchana.Na saa 10:00 -12:00 jioni. KARIBUNI WOTE,TUPO KITUNDA KIVULE-KITUO CHA BUSTANI YA EDENI ZAMANI MATEMBELE YA KWANZA YAKIVULE. KWA MAWASILIANO ZAIDI;0755 448116,0784 448117

No comments: