Monday, December 1, 2008

MCHUNGAJI NICOLAUS SUGUYE AKIMWAMBIA BINTI KUWA YESU ANAWEZA KUMPONYA UPOFU ALIKOKUWA NAO


Mchungaji Nicolaus Suguye akiwaonyesha waumini wa kanisa lake jinsi binti alivyo kipofu, na ataona baada ya maombezi kwa sababu Mungu bado anatenda kazi mpaka sasa. Binti huyo alizaliwa akiwa kipofu.

No comments: