Monday, December 1, 2008

MCHUNGAJI NICOLAUS SUGUYE AKIMUOMBEA BINTI ALIYEKUWA KIPOFU ALIYEFIKISHWA KANISA LA WRM


Imani ni kuwa na uhakika wa mambo yatarajiwayo. Mchangaji Nicolaus Suguye akimuombea binti aliyekuwa kipofu baada ya yeye kuamini kuwa anaweza kuona kama wengine baada ya kutesa na hali hiyo ya upofu tangu kuzaliwa kwake.

No comments: