Monday, December 1, 2008

MCHUNGAJI NICOLAUS SUGUYE AKIWAONYESHA WATU MUUJIZA WA BINTI ALIYEKUWA KIPOFU BAADA YA KUANZA KUONA

Aliyezaliwa akiwa kipofu sasa anaona baada ya kuombewa katika ibaada ya maombezi inayofanywa na mtumishi wa Mungu, Mchungaji Nicolausi Suguye wa Kanisa la The Word of Reconciliation Ministries lililopo Matembele ya Kwanza Kivule nje kidoga ya jiji la Dar es Salaam.

1 comment:

nelsonsinko said...

Praise the LORD!!!!!!!!!!!!!!!!
I do hope that the lord Jesus is protecting you all and you are fine.
According to what i have just read, pastor nicolas is really a servant of GOD and is under the power of operation of GOD simply because has surrendered his life obediently to serve the almighty. I have been attending his serves so often and have experience the move of the almighty GOD, actually has servant hood heart unlike other ministers, for sure the miracle of a blind girl to recover her sight is because he had faith and she was beleived in GOD.
I urge every one to visit this ministry not as spectators but to be part of this ministry for miracles to explode in every individual's life.
Stay blessed as you go through this ministry, bye for now

nelson
brother in christ