Tuesday, December 16, 2008

HUDUMA YA KUWASAIDIA WAJANE NA WATOTO YATIMA TAFANYIKA WRM


Mchugaji Nicolaus Suguye akimpa zawadi mtoto yatima. Hivi karibuni mchungaji huyo alifanya huduma ya kuwapa zawadi watoto yatima na wanajane.

No comments: